Tuesday 16 February 2016

ITIKADI YA KISHIA KUHUSU MUUMBA

ITIKADI YA KISHIA KUHUSU MUUMBA

Mashia wanaamini kuwepo kwa Mungu Mmoja, Mwumba wa Ulimwengu, Mwenye Kuruzuku, Mwenye Kuhuisha, Mjuzi, Muweza, Hai, Mdiriki, Mwenye enzi, Asiye na Mwanzo wala Mwisho, Msemi, Mkweli, Asiye na mwili, Asiyeonekana, Asiyebadilika, Asiye na mshirika,

Naye ni Mwadilifu katika vitendo, maamrisho na uumbaji, kama Anavyosema Mwenyewe katika Qur’an: “Hakika Mola wako si dhalimu kwa waja wake.” (Qur’an, 3:181).

No comments:

Post a Comment