Saturday 19 January 2013

Kikao cha Waumini wa Shia - Islam Mkoa wa Morogoro

Assalaam alaykum: ninachukua fursa hii kuwakaribisha kwenye kikao viongozi wote wa Shia mkoa wa Morogoro. Kikao kitafanyika saa 8 kamili mchana mpaka saa 11 jioni hapa manispaa ya Morogoro. kufika kwenu ndio mafanikio ya kikao.
wabillah tawfiiq
wasalaam alaykum

No comments:

Post a Comment