Saturday 19 January 2013

Mufti wa Tanzania wa Waislamu wa madhehebu ya Shia

Mufti wa Tanzania na Sheikh mkuu wa Shia Islam sheikh Abdallah Seif akisalimiana na vijana wa kiislamu baada ya kuongoza maandamano ya maombolezo ya kifo cha Mtume Mohammad (S.A.W.W), Tarehe 28 Safari 1434 hijiria huko Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment