Sunday 25 November 2012

Ashura na maandamano ya waislamu

Waislamu wa madhehebu ya Shia walipokuwa wakiomboleza kuuliwa shahidi Imamu Hussein (as) mnamo mwaka 61 hijiria na viongozi wabaya kabisa waliojipa utawala juu ya Uislamu na kuwatawala waislamu kwa mabavu kinyume na maelekezo ya Mtume Mohammad (SAWW). Watawala hao ni Muawiyya bin abi Suffian na mwanawe Yazid ibn Muawiyyah. Ambao waliwaua kila watu waliojulikana kuwa ni Mashia yaani wafuasi wa Ahlulbayt rasul na pia waliua kila mtu aliyejaribu kuwasifu Ahlulbayt.







Friday 23 November 2012

TALIBAN LAUNCH ‘KILL, KILL, SHIAS’ CAMPAIGN IN PAKISTAN


“Kill, Kill, Shias,” say the text warnings to members of the SHIA ISLAM community.
The smear campaign comes a day after nearly 40 Shia Muslims were killed in three bomb attacks on religious gatherings in the southern port city of Karachi and the garrison city of Rawalpindi on Wednesday evening.
Heavily armed militants have targeted several religious ceremonies commemorating the martyrdom of Imam Hussain (peace be upon him) in different regions of Pakistan over the past week.
Human rights groups say hundreds of Shia Muslims have been killed in the violence-hit country so far this year.
Several citizens have expressed their deep concerns over the ongoing massacre and religious persecution of Shias across Pakistan.
“Genocide against Shias is already taking place in Pakistan so the text messages don’t really matter that much,” daily Dawn newspaper quoted Jalal Haider as saying.
Nearly 50,000 people plan to march through the streets of Islamabad on Saturday in order to protest against the ongoing sectarian violence and growing insecurity across the county.
Violence has surged against Shia Muslims in different parts of Pakistan in recent months. Since the beginning of 2012, hundreds of Shias have been killed in various parts of the militancy-wracked country.
Pakistan's pro-Taliban militants have launched a violent campaign against Shia Muslims over the past years. According to local sources, militants affiliated to Taliban and al-Qaeda terrorist groups have killed thousands of Shia Muslims in the region since the start of the campaign.
The country’s Shia leaders have called on the government to form a judicial commission to investigate the bloodshed.
The killing of Shias in Pakistan has sparked international outrage, with rights groups and regional countries expressing concern over the ongoing carnage. Still, those behind the violence are rarely caught or punished.
Human Rights Watch issued a statement in September asking the Pakistani government to “urgently act” to protect the Shia Muslims in Pakistan.

MAKUNDI KATIKA UISLAMU


Ukhalifa na ungozi baada ya Mtume ilikuwa ni sababu iliyopelekea waislamu kugawanyika makundi mawili shia na sunni
 Ambapo masuni walidai kuwa mtume amewaachia waislamu wamchague kiongozi wamtakaye ambapo wakamchagua Abubakar bin kuhafah  kuwa Khalifa. na Mashia wakasema kuwa mtume aliacha amemchagua atayekuwa kiongozi baada yake ambaye ni Sayyidna Ally bin Abi Talib na kizazi chake.
Mpaka kufika hapa tunaona kuwa mtume na maswahaba ndio msingi na mhimili mkuu wa madhehebu ya Suni.
Na kwa upande wa mashia msingi na mhimili wao mkuu ni  mtume na watu wa nyumbani  kwa  mtume (Ahlul bayt a.s).
   Na hapa tunaona kuwa madhehebu haya mawili yanashuhudia kuwa: Mwenyezi Mungu ni Mmoja, hakuzaa wala hakuzaliwa na mtume Muhammad (s.a.w) ndiye mtume wa mwisho, madhehebu haya pia wanasali sala tano, wanafunga, wana kwenda hijja, wanatoa zaka na wanaamini ufufuo baada ya kifo.
 Kwa kifupi hakuna shaka kwamba madhehebu haya, yanashikamana na misingi ya dini ya kiislamu kama inavyotakiwa.
Lakini  jambo la kusikitisha ni kwamba kadri muda unavyo kwenda ndivyo  madhehebu mapya yanajitokeza na kujipa majina ya kuvutia, wakisambaza fikra potofu na hatimaye kuchafua jina na kushusha hadhi ya  waislamu na Uislam kwa jumla. Madhehebu haya yamewakufurisha kila waliopingana na mitazamo yao na hata kutoa hukumu ya kuawa wapinzani wao, wanafanya haya yote wakiamini kuwa wenyewe tu, ndio waislamu halisi na madhehebu mengine yoote ni uzushi na upotefu mtupu.
   Jambo la kutia moyo ni kwamba Allah ameahidi kuilinda dini yake hata kama jambo hili litawaudhi baadhi ya watu.
 Kama nilivyo tanguliza kusema hapo juu kuwa madhehebu makuu ni mawili na mengine ni matawi ya madhehebu haya, ningependa kuelezea itikadi na mitazamo za madhehebu haya, lakini kwa kuwa dhehebu la sunni ndio dhehebu lenye wafuasi wengi sana Tanzania na hata Afrika kwa Ujumla, sita lizungumzia dhehebu hili kwakina, bali nitapenda kuelezea dhehebu la Shia au (Ahlul bayt) ili tupate kuwatambua watu hawa.
Neno Shia katika lugha ya kiarabu lina maana ya mfuasi.
Katika historia neno Shia limetumika kuwaita watu wafuatao:
1. Limetumika kuwaita wanaoitikadia kuwa Sayyidna Alli bin Abii Talib ndiye sahaba bora kuliko masahaba wote.
2. Pia linatumika kuwa ita wanaoitikadia kuwa mtume aliacha amemchagua Sayyidna Ally bin abi Talib na kizazi chake kuwa ni makhalifa na viongozi wa Uislamu baada yake, na wala hakuacha waislamu wafanye uchaguzi wa makhalifa kama ilivyo kwa dhehebu la sunni.
Mashia nitaowazungumzia hapa ni mashia kwa maana ya pili ambao kwa jina lingine wanaitwa:  madhehebu ya Ahlul bayt au Shia Ithna asharia .
Hivyo Allah akinipa taufiki, katika mada ifuatayo
Nitazungumzia dhehebu hili ili liwe wazi kwa woote.
 

Ahmadinejad once again calls for new world order


Iran’s President Mahmoud Ahmadinejad has reaffirmed the need for fundamental changes for the creation of a new world order on the basis of justice and humanity, saying the era of capitalism has reached its end.

“A fundamental change and the establishment of a new humane order require firm determination and will and joint efforts by all countries. Each and every one of us must enforce the determination to participate in the process of achieving a sustainable peace, and finally security and welfare for people,” Ahmadinejad said in an address to the summit of the Group of Eight Developing Countries (D8) in Pakistan's capital, Islamabad, on Thursday. 

He added that regional countries and nations should play a leading role in “defining and establishing the new world order in the future” thanks to their rich history and culture and unique resources. 

He emphasized that the recognition of rights is considered as a “basic right for all humans” in this new global order, noting that all human beings can have their legitimate and absolute rights to enjoy a sustainable peace, security, welfare and progress. 
During the past decades, we witnessed the emergence of a complicated system of colonialism and hegemony which has affected global resources and taken its toll on all of us, Ahmadinejad stated. 

Former colonial powers, who were masters adept at slavery, have now taken up a new face with different slogans to plunder the resources of nations on the basis of offensive teachings, he pointed out. 

The Iranian chief executive added that militarism, aggression and violation of national sovereignty of countries have increased in states such as Afghanistan, Iraq and Pakistan.

“All of us seek to put an end to unilateralism, aggression and arms race,” Ahmadinejad said. 

He stressed the importance of bolstering cooperation to make use of resources and the economic, political and geographical potentials in order to “play a key role in securing welfare for nations and making reforms in the global order.” 

We can strengthen our relations more than ever before and resist against hegemonic powers to protect our nations’ interests, the Iranian president pointed out. 

President Ahmadinejad arrived in Islamabad Wednesday night to attend the D8 summit. He also held talks with his Pakistani counterpart Asif Ali Zardari on the sidelines of the summit. 

The D8 group comprises Iran, Turkey, Malaysia, Pakistan, Nigeria, Egypt, Bangladesh and Indonesia. 

With a population of one billion people, the D8 group has a combined market value of one trillion dollars. It is determined to boost its trade volume to USD 500 billion by 2018. 

Thursday 22 November 2012

Israel sources say Iron Dome intercepted 420 Palestinian rockets

Israeli sources say the Iron Dome missile shield has intercepted about 420 out of some 1,500 rockets fired by the Palestinian resistance fighters into Israeli cities in retaliation for the deadly Israeli attacks on Gaza.

Wednesday 21 November 2012

M23 rebels capture another city in eastern DR Congo


Congolese rebels have taken control of the town of Sake in the east of the Democratic Republic of Congo (DRC), a day after capturing the city of Goma on the Rwandan border.

"We are not going to stop at Goma, we will go as far as Bukavu, Kisangani and Kinshasa," the spokesman for the March 23 movement (M23), Vianney Kazarama, said on Wednesday. 

M23 rebels, widely believed to be backed by Rwanda, overran the eastern city of Goma on Tuesday with no resistance from UN and government troops. 

"The journey to liberate Congo has started now," said Kazarama, calling on Congolese President Joseph Kabila to step down. 

Earlier in the day, Kabila held talks with his Ugandan and Rwandan counterparts in the Ugandan capital Kampala, calling on the rebels to withdraw from Goma immediately. 

On Tuesday, the United States urged Rwanda to encourage M23 rebels to pull out of the city. 

"We condemn the ongoing violent assault of M23 and the fact that it's now taken Goma in violation of the sovereignty of the DRC," US State Department spokeswoman Victoria Nuland said in Washington. 

The M23 rebels defected from the Congolese army in April in protest over alleged mistreatment in the FARDC. They had previously been integrated into the Congolese army under a peace deal signed in 2009. 

The mutiny is being led by General Bosco Ntaganda, who is wanted by the International Criminal Court on a charge of recruiting child soldiers. 

Since early May, over 750,000 people have fled their homes in the eastern Congo. Most of them have resettled inside Congo, but tens of thousands have crossed into neighboring Rwanda and Uganda. 

Congo has faced numerous problems over the past few decades, such as grinding poverty, crumbling infrastructure, and a war in the east of the country that has dragged on for over a decade and left over 5.5 million people dead. 

Hamas chief thanks Iran for its support during war on Gaza


Hamas Political Bureau Chief Khaled Meshaal has thanked the Islamic Republic of Iran for helping the Gaza Strip in its victory against the Israeli regime’s attack.

Mashal made the remarks in a press conference in Cairo on Tuesday, adding Iran "had a role in arming” and financing Gazans during the war. 

Hamas chief stated that Israel has failed to achieve any of its goals noting, “After eight days, God stayed their hand from the people of Gaza, and they were compelled to submit to the conditions of the resistance.”

He warned Tel Aviv against violating the cease-fire agreement between the Palestinian resistance movement and the Israeli regime. 

He also thanked ceasefire mediator Egypt, stating that the African country “acted responsibly and understood the demands of the resistance and the Palestinian people.” 

Moreover, Hezbollah Secretary General Seyyed Hassan Nasrallah also said in a televised speech that the truce between Hamas and the Israeli regime is a victory for Palestine. 

“We should learn from this great experience to benefit from it and reinforce our power,” Nasrallah said. 

Earlier in the day, Egyptian Foreign Minister Mohammed Kamel Amr announced during a joint press conference with the US Secretary of State Hillary Clinton that the Israeli regime and the Palestinian resistance movement Hamas have reached a ceasefire agreement. 

Following the truce agreement, Gazans poured into the street to celebrate the victory by chanting “God is great,” and "The resistance is victorious." 

Under the deal, Palestinians and Israelis agreed to end all hostilities against each other. Israel also agreed to open all crossings and facilitate the movement of people and goods in and out of the Gaza Strip, but it did not accept to lift the blockade of the Gaza Strip. 

The Israeli regime’s deadly offensive on the blockaded Gaza Strip killed 162 Palestinians since November 14. 

In retaliation, Palestinian resistance fighters continued to pour rockets and missiles into the Israeli cities, killing at least five Israelis, including one soldier. 

Gaza has been blockaded since 2007, a situation that has caused a decline in the standard of living, unrelenting poverty, and unprecedented unemployment rate among the population of about 1.7 million Palestinians. 

Iran gave Hamas only technical know-how of Fajr 5 missile: Cmdr.

Commander of the Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) Major General Mohammad-Ali Jafari says Iran has provided the Palestinian resistance movement, Hamas, with only the technology to produce Fajr 5 (Dawn) missiles.

“Gaza is currently under siege so we cannot help them,” Jafari said on Wednesday, adding that Iran has only transferred the know-how to produce Fajr 5 missiles to Gaza and they are being produced quickly. 

“We offer all Muslims technological aid to [help them] stand up against arrogant powers and we offer [to give] them our experiences to defend their people,” the IRGC commander said.

Major General Jafari made the remarks in response to Israeli claims that Iran has provided Hamas with Fajr 5 missiles. 

At least 150 Palestinians have lost their lives and 1,200 others have been injured as the Tel Aviv regime continues its deadly strikes against the besieged Gaza Strip for the eighth consecutive day. 

In the latest offensive, Israeli jets also hit the office of Agence France-Presse (AFP) in Gaza city killing one person. Tel Aviv has attacked the costal enclave 1,500 times since November 14. 

The Iranian commander added that Iran supports a ceasefire between Gaza and Israel if such a truce is to the interest of Palestinians. 

DIVINE WORDS FROM PROPHET MOHAMMAD (SAWW)

The Holy Prophet (S.A.W.) defines a good friend in these words: "He is the one whose very sight makes you remember Allah, whose conversation increases your knowledge and whose deeds remind you of the world in the Hereafter"(Biharul Anwar, Vol.XV, p.51)

Friday 16 November 2012

Hongereni kwa kuingia mwaka mpya wa kiislamu 1434

Ninapenda kutoa mkono wangu wa pongezi kwa watu wote duniani kwa kuweza kuingia ndani ya mwaka mpya wa kiislamu kwa amani na furaha. Ninamwomba Mwenyezi Mungu Allah (sw) atusameha waovu yote tuliyoyafanya katika mwaka uliopita kisha atujalie uchamungu na tuweze kujiepusha na maasi katika mwaka huu.

Wakati tukiwa na sherehe za mwaka mpya tukumbuke vilevile matukio makubwa yaliyotokea ndani ya Uislamu katika tarehe na mwezi huu wa Muharram. Siku kumi za mwanzo za mwezi huu mwaka 61 waliteswa na kuuawa shahidi baadhi ya viongozi wa kiislamu ambao waliuliwa na mtawala dhalimu Yazid ibn Muawiyyah ni kutokana na kiongozi wa wachamungu hao Imamu Hussein kukataa kuwa chini ya utawala dhalimu. 
Kwani Yazid ambaye baadhi ya waislamu wanamuita kiongozi wa waumini alikuwa mlevi, haswali, mzinzi aliyepindukia na asiyejali utu. Rushwa, uzinifu na dhuluma zilitapaa kila kona ya nchi na kuwalazimisha waumini wa Kufa, Iraq, wamuite Imam ili awaokoe kutokana na ukandamizaji huo. Imam aliamua kwenda lakini kabla kufika Kufa alikutana na kikosi cha jeshi la adui katika eneo la Karbala na kuwauwa wanaume na watoto wa kiume wapatao sabini na mbili, wengi wao walikuwa wajukuu wa mtume Mohammad (saww) na Wafuasi wao. Wanawake walichukuliwa mateka na kuvuliwa hijabu kisha walitembezwa mji mpaka mwingine wakiwa dhalili kabisa huku mbele ya msafala huo kikiwekwa kichwa cha Imam Hussein. Innalillah wa innailahir rajiun.

Israeli tanks moving toward Gaza border, ready for ground attack


Israeli tanks and armored vehicles are reportedly moving toward Gaza for a possible ground offensive as the death toll from Israeli attacks on the Palestinian enclave rises to 25. 
Scores of Israeli tanks have already been deployed near the Gaza border for a possible ground invasion.  Dozens of military trucks were seen transporting tanks and military commanders are preparing 16,000 of them for a possible ground invasion of Gaza.
Senior cabinet minister Moshe Yaalon confirmed on Friday that armored personnel carriers toward Gaza late on Thursday. Many buses carrying soldiers also headed toward the border area. 
According to Israeli sources, Tel Aviv has called up 30,000 reserve soldiers for the operations and that 
Israel was considering a ground operation against the Palestinian enclave. 
At least 25 Palestinians, including a senior Hamas commander, have been killed and over 250 others injured in Israeli attacks in Gaza since Wednesday when the Israeli army launched the so-called "Operation Pillar of Defense" against the Palestinian territory. 
Five people, including a woman, were killed in Israeli airstrikes on Gaza City and Khan Yunis on Friday. Many others were also injured in the attacks. 
The Israeli Army says it has carried out 466 air strikes against Gaza in the past three days. Palestinian fighters have also fired hundreds of rockets into Israel in response to the deadly attacks. Palestinian rockets have hit several Israeli cities, including Tel Aviv. It is the first time that Tel Aviv has come under attack in decades. 
Israeli media reports say the Iron Dome missile shield has only intercepted one-fifth of the rockets fired from the Gaza Strip since Wednesday. 
Meanwhile, a Palestinian rocket landed near the US Embassy in Tel Aviv, witnesses said.
 

Palestinians shoot down Israeli F-16 fighter jet in Gaza


Palestinian fighters have downed an Israeli warplane flying over the Gaza Strip as retaliatory rocket attacks from the enclave continue to sound alarms across Israel.

According to Hamas sources, the Israeli F-16 fighter jet was shot down on Friday. 

Meanwhile, several Israelis were injured after three rockets fired from Gaza hit the Zionist settlement of Gush Etzion in al-Quds (Jerusalem). 

Palestinian missiles and rockets have also hit the other Israeli cities of Tel Aviv, Eshkol, Ashdod, Ashkelon, and Be'er Sheva. 

In Tel Aviv, a rocket hit a commercial district while a second rocket landed 200 meters away from the American Embassy. It is the first time that Tel Aviv has come under attack in decades. Three Israeli soldiers have been injured in a rocket attack in Eshkol.

Hospitals across Israel are now in state of emergency. 

Palestinians have fired over 550 rockets and missiles into Israel since Wednesday after Tel Aviv launched a major military strike against the besieged Palestinian territory, killing scores of people, including women and children. 

The Israeli Army says it has hit more than 600 targets in Gaza during the past three days. 

According to Israeli sources, the Iron Dome missile shield has only intercepted one-fifth of the rockets fired from the Gaza Strip. 

Meanwhile, residents of the besieged Gaza Strip say they are getting text messages warning of military escalation as reports suggest that Israeli military forces are preparing for a ground invasion of Gaza. 

Wednesday 14 November 2012

Iran successfully hits drone using Shalamcheh missile


Iran has successfully test-fired the indigenous Shalamcheh missile on the third day of large-scale military drills in the eastern part of the country.

The Shalamcheh missile was fired from the Mersad (Ambush) air defense system at a Karrar drone, which was destroyed, during the Modafe'an-e Aseman-e Velayat 4 (Defenders of the Skies of Velayat 4) drill on Wednesday. 

The medium-range Shalamcheh, which can be also used as a short-range missile, travels at the speed of three Machs and is resistant to enemy electronic warfare. 

Iran’s Army and the Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) are jointly staging the massive military drill which began on Monday. 

An upgraded high-precision long-range S-200 ground-to-air defense system, and two indigenous missile systems named Qader and Ya Zahra III were successfully tested on Wednesday 

Electronic and surveillance systems used to detect and intercept manned and unmanned enemy aircraft flying at low altitude, Iran Air Force F-14 and F-4 fighter jets, artillery fire, shoulder-launched weapons as well as low-altitude missile systems were also tested during the maneuver’s third day. 

Sunday 11 November 2012

Iran plans to launch satellite to GEO: IRGC chief


A schematic view of GEO
The commander of the Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) says Iran will soon launch a satellite into the Geostationary Earth Orbit (GEO), a circular orbit more than 35,000 kilometers above the planet’s equator.

Major General Mohammad Ali Jafari said on Sunday that the satellite would be carried on a missile which had been developed by the senior IRGC commander, Hassan Tehrani Moqaddam, before his martyrdom a year ago.

The Iranian general added that numerous young scientists have joined the IRGC Self-Sufficiency Organization since Tehrani Moqaddam’s martyrdom to push ahead with his projects.
 
Jafari stated that Iran is one of the few states capable of launching satellites into GEO, adding: “With this missile and on this level, I don’t think that except for two or three countries and Iran, any other country would be capable of sending satellites into GEO.”
He emphasized that scientific progress in Iran will continue in all sectors.

“Western governments and the United States are likely to feel threatened by Iran’s scientific progress. That’s natural, but we will do our job.”

Iran launched its first indigenous satellite, Omid (Hope), in 2009. The country also sent its first biocapsule of living creatures into space in February 2010, using the indigenous Kavoshgar-3 (Explorer-3) carrier.

Moreover, in June 2011, Iran put the 15.3-kilogram Rasad (Observation) orbiter in space. Rasad's mission was to take images of the Earth and transmit them along with telemetry information to the ground stations.

Iran also launched Navid-e Elm-o Sanat (Harbinger of Science and Industry), another indigenous satellite, into orbit on February 3, 2012.

The country is one of the 24 founding members of the UN Committee on the Peaceful Uses of Outer Space, which was set up in 1959.

Tehran also plans to launch the country's first manned mission to space by 2019.

Wednesday 31 October 2012

Syrian insurgent attack army checkpoints despite ceasefire


The Syrian army says insurgent groups fighting against the government have violated the temporary ceasefire by attacking military checkpoints in several cities.
According to the army, insurgents attacked checkpoints in Damascus, Dara'a, Homs and Idlib on Friday hours after a four-day ceasefire to mark the Muslim holiday of Eid al-Adha (Feast of Sacrifice) took effect.

A car bomb also exploded in the southern Damascus neighborhood of Daf Shawk, killing at least five people and injuring over 35 others. Most of the victims are reported to be civilians.

The Syrian army, however, has said that it will continue to respect the truce, adding that government forces were responding to attacks by armed groups that were in violation of the ceasefire. The Syrian army had repeatedly warned that it would respond if armed groups carry out attacks or reinforce their positions, or if fighters cross into the country.
"Armed terrorist groups attacked military positions, thereby clearly violating the halt to military operations agreed by the army command. Our valiant armed forces are responding to these violations and pursuing these groups," the military said in a statement read on state television.

The truce was proposed by UN and Arab League envoy, Lakhdar Brahimi, after which violence appeared to have died down and calm returned to most parts of Syria.

The international community has piled pressure on all sides involved in the Syrian unrest to respect the truce and a senior Arab League official said on Friday that it appeared to be holding. Previous attempts at ceasefires in Syria had collapsed.

Many countries, including Iran and Russia, have welcomed the ceasefire, and UN Secretary General Ban Ki-moon said he hoped it would lead to political negotiations.

Saturday 27 October 2012

VURUGU ZA KIDINI TANZANIA

Nachukua fursa hii kulaani matukio ya vurugu yaliyotokea Jijini Dar es Salaam kwa kijana wa kikristo kukojolea Qur'an takatifu ambayo ni kitabu chetu kitukufu. Lakini ninalaani pia vurugu zilizofuatia tukio hilo ambazo ni pamoja na kuchomwa kwa makanisa.
Kwa kweli hapakuwa na ulazima wa kuendeleza vurugu kwani kipindi makanisa yanachomwa tayari mtuhumiwa alikuwa mikinoni mwa polisi. Ninawaomba waislamu wenzangu tujifunze kufuata sheria pindi tunapohisi kudhulumiwa haki zetu. Tanzania kama nchi inakatiba yake na sheria ambazo inahitajika kila mtanzania azifuate. Inaeleweka wazi mtu anapovunja sheria kitu muhimu cha kufanya kwa waliovunjiwa sheria kuripoti katika vyombo vya dola.
Na ni jukumu la vyombo vya dola kufuatilia tukio zima na kuwakamata wahalifu wote na kuwafikisha mahakamani. Hakuna njia nyingine ya mkato tofauti na kufuata na kutumia mahakama zilizopo.
Kama haturidhiki na katiba na sheria zilizopo dawa yake ni moja tu. Katika mchakato wa uandikaji wa katiba unaofanyika sasa tupeleke madai yetu yote. Kama wakigoma kuyaingiza katika katiba basi tuipigie kura ya hapana. Katiba haitopita na hivyo mchakato utaanza upya.

Sunday 21 October 2012

Gaza-bound aid ship Estelle attacked by Israeli forces

he Finnish-flagged Estelle, which left Naples on 7 October with some 20 people of eight different nationalities aboard, was seized by the Israeli forces and taken to the port of Ashdod on Saturday.

The Estelle, which is reportedly carrying a cargo including cement and medical supplies, was boarded 30 nautical miles off the coast of Gaza, activists said.

“Israeli warships surrounded the Estelle and the assault on the peaceful ship started,” a statement from Ship to Gaza, an organization affiliated with the mission, said.
The passengers on the ship, the Estelle, included five members of European parliaments and a former Canadian lawmaker.

“We have no confirmation from them of how they are, and we may not for some time hear directly from them,” David Heap, an activist connected to the movement said.

The Israeli regime denies about 1.7 million people in Gaza their basic rights, including the freedom of movement and the right to decent living, work, health and education.

The Estelle was the latest of more than a dozen ships that had tried to break the blockade since 2010.

On May 31, 2010, Israeli forces attacked the Gaza-bound humanitarian Freedom Flotilla in international waters in the Mediterranean Sea, killing nine Turkish nationals aboard Turkey’s Mavi Marmara and injuring about 50 other activists who were part of the six-ship convoy.

Also in November 2011, a Canadian and an Irish yacht were prevented by Israeli forces in the international waters to transport pro-Palestinian activists and medical supplies to Gaza.

Christian Extremists storm mosque in historic Poitiers


A group of extremists has stormed an unfinished mosque in the historic city of Poitiers in western France in a display of animosity toward Islam.

Seventy-three protesters travelled from all over France to the city to take part in the anti-Islam demonstration on Saturday.
They gathered at the mosque before dawn, and disrupted a prayer, chanting and waving banners protesting against the construction of mosques and the immigration of Muslims.

They also climbed onto the roof of the mosque and unfurled their banners.

"We are thunderstruck… these are people who are stuck in the year 732, and who don't see that the world has changed,” local Muslim leader and imam Boubaker al-Hadj Amor said, referring to the Battle of Tours, which occurred in Poitiers in that year, with Charles Martel leading the Christian army in a victory that halted the Muslims’ furthest advance into Europe.

Saturday 20 October 2012

RAIS MORSI WA MISRI NI NGUVU YA SODA

Juhudi za Rais Mursi wa Misri za kutetea waislamu na Uislamu zimeonekana kuwa ni nguvu ya soda baada ya rais huyo aliyeingia madarakani kwa mgongo wa Uislamu (kupitia chama cha udugu wa kiislamu) kuonesha udhaifu mkubwa, pale alipomtuma balozi mpya kuiwakilisha nchi yake kwa utawala Haramu wa Israel.
Balozi huyo mpya alikabidhi barua kwa rais wa Israel bwana Shimon Peres. Ndani ya barua hiyo pamoja na Mursi kumtambulisha Atef Mohammad Salem kuwa ni balozi wake lakini imesema bayana kuwa Shimon Perez in Rafiki mkubwa wa Mursi na kuwa Perez ni mtu mzuri sana.
Maneno haya ya Mursi ni kinyume cha ukweli kwani Wapalestina wamekuwa wakipigwa na kuuawa kila siku na serikali hiyo haramu. Ardhi ya Palestina imekuwa ikiporwa kila siku kwa mabavu na wababe hao tena kinyume na maazimio ya Umoja wa Mataifa.
Kama kuna adui wa Uislamu na Waislamu basi atakuwa ni Israel ambaye anaongoza kwa kuandaa njama na hujuma dhidi ya waislamu. Hii inamaana kuwa Muslim Brother hood wamepoteza uelekeo na hivyo wamisri wanatakiwa kujikomboa kwa mara nyingine.
Isome barua ya Mursi kwa lugha mkono wake mwenyewe kupitia link ifuatayo;
http://www.abna.ir/data.asp?lang=3&id=357775


Monday 1 October 2012

SHARI ZA MAWAHABI AU SARAFI

Mmoja wa viongozi wa kiislamu wa kijiji cha Mwandiga, katika mkoa wa Kigoma, Tanzania sheikh ABDALLA MNYILA amewaambia waumini wa kijiji hicho kuwa mawahabi wamepeleka fitina kubwa katika kijiji chao, mtafaruku ulikuwa mkubwa kiasi kwamba waumini wamegawika vijana na wazee. Ambapo vijana wamekuwa wakiwacharaza bakora wazee na kusababisha wazee waukimbie msikiti wa Majengo. Hii ilisababisha wazee wasalie mskiti wa KIBINGO, na msikiti wa MAJENGO wakaachiwa vijana.
Matukio haya ni tofauti na Uislamu ambao unahimizi umoja miongoni mwa waislamu

MAUAJI YA WAUMINI WA MADHEHEBU YA SHIA

Shia ni waislamu wanaofuata kizazi cha Mtume Mohammad (SAWW) kwa kuwa Mtume mwenyewe aliacha amekabidhi utawala kwa Imamu Ali ambaye ni kiongozi wa Ahlulbayt wa Mtume. Lakini Mtume alipokufa tu waislamu wachache walikutanika katika ukumbi uitwao Saqifatu ban Saada na kufanya mapinduzi ambayo Abubakar bin Quhafa alinyakuwa ukhalifa.
Kuanzia siku hiyo waislamu waliofuata usia wa Mtume alipata mateso ya kila aina na kuuawa. Wa kwanza kuuawa alikuwa bint wa pekee wa mtume yaani Fatumat Zahra, ambaye alimfuata baba yake kabla miezi haijapita tokea afe mtume.
Kipindi cha mauaji kimeendelea hadi leo ambapo Mashia wamekuwa wakiuawa katika kila kona ya dunia. Nchi zilizokithiri kwa mauaji hayo ni Pakstan, Bahrain, Iraq, Yemen, Saudi Arabia na Syria. Katika mwaka 2012 peke yake katika mji mmoja tu uitwa Queta huko Pakstan wameuawa mashia zaidi ya 100.

VITISHO VYA VITA VYA ISRAEL DHIDI YA IRAN

Naibu Kamanda wa majeshi ya Iran, Brigedia Jenerali Massoud Jazayeri amesama kuwa pamoja na Utawala Haramu wa Israel kuendeleza sera yake ya vitisho dhidi ya Jamhuri ya Kislamu ya Iran, inajua fika kuwa ikifyatua risasi au kombora moja tu dhidi ya Iran utakuwa ndio mwisho wa utawala huo haramu kwa Iran itawapiga vilivyo na kisha kuwakabidhi wapalestina nchi yao ili waanzishe serikali ya kidemokrasia na kushirikisha watu wa dini mbalimbali badala ya utawala wa sasa ambao ni wa kiyahudi peke yao, wengine ni vibarua wao na ukubali kufanyiwa kila watakacho.

Ameyasema hayo kwa sababu Iran inauwezo mkubwa kijeshi kuliko Israel na hivyo waziri mkuu wa Israel Benjamini Nitanyahu kujaribu bila mafanikio kuishinikiza dunia iwasaidie katika njama zao za kuishambulia Iran.

Friday 28 September 2012

MAREKANI NI MFADHILI MKUU WA UGAIDI DUNIANI

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Hillary Clinton amewaambia waandishi wa habari kuwa nchi yake imetoa msaada wa million 45 ili kusaidia waasi wa Syria ili waweze kuishinda serikali halali ya rais Bashar al Asad. Ushahidi unaonesha kuwa wengi wa wapiganaji wanaopinga serikali ya Syria si wasyria bali magaidi kutokea Afghanistan, Pakstan, Qatar, Libya, Uingereza, Ufaransa, Uturuki na Saudi Arabia.

Catholic Church Inundated with Sexual Abuse Allegations

In 2010 Pope Benedict XVI accepted the resignation of an Irish bishop over his handling of child abuse cases since 1995 and the German government set up a special panel to look into sexual abuse allegations in the Catholic Church and elsewhere.

Allegations of abuse continue to flood church offices and help groups in Germany.  A number of task forces have already been set up where victims of physical and sexual abuse at the hands of Catholic priests can tell their stories and ask for help. Now the German government has set up an expert panel and the Bishop's Conference in Germany has announced a special papal aide hot line which starts operations the end of this month.

Munich lies in the heartland of Germany's Catholics.  It's here that Pope Benedict, formerly Cardinal Joseph Ratzinger, was archbishop in the 1980's.  And, many of the alleged abuses occurred during that time.  In one case now being examined, a priest alleged to have abused students was transferred to Munich from another diocese.  Questions have been raised about what Cardinal Ratzinger may have known about this.

The sexual abuse is much more reported in developing countries; especially African countries but no information in media because they fear to miss humanitarian assistance they receive from this church, and also they think that, it is the shame for them when people will come to know that they have raped.

Australian Catholic Church admits child abuse


Australia's Roman Catholic Church has confirmed that more than 600 children have been sexually abused by its priests since the 1930s in the state of Victoria.
The archbishop of Melbourne, Denis Hart, described the figures as "horrific and shameful".
The admission came in a submission to a state parliamentary inquiry into the handling of abuse cases, however campaigners say the true figure could be up to 10,000 victims.
The church said the 620 cases went back 80 years with the majority taking place between the 1960s and the 1980s, with another 45 cases being investigated.
In a statement, Archbishop Hart said it was important to be open "about the horrific abuse that has occurred in Victoria and elsewhere".
source:  http://www.aljazeera.com/news/asia-pacific/2012/09/201292255516766599.html

Canadian Premier Harper skips UN General Assembly to get Jewish award

Canadian Prime Minister Stephen Harper has come under fire for skipping the 67th session of the UN General Assembly to attend a private ceremony where he received an award from a Jewish-sponsored organization.
Passing up the opportunity to address the General Assembly, Harper chose to receive the New York-based Appeal of Conscience Foundation (ACF) award from former US Secretary of State Henry Kissinger on Thursday.
The Canadian official seized the opportunity to level criticism at the UN and accused its members of using the world body as a “forum to single out Israel for criticism.”

Harper further added that the policies of the Israeli regime are not to blame for “the pathologies present in that part of the world,” while reaffirming Canada’s support for Tel Aviv.

However, the Canadian prime minister’s decision not to speak at the opening of the General Assembly drew harsh criticism in Canada from opposition leaders, who called the move “absolutely ridiculous.”

Syrian army kills insurgent leaders in Aleppo

Members of the terrorist Free Syrian Army in Aleppo (file photo)
Members of the terrorist Free Syrian Army in Aleppo (file photo)
 
The Syrian army has killed a number of insurgent leaders in the flashpoint city of Aleppo as the mop-up operation to clear the northern city of armed groups continues.

The insurgent leaders were killed after Syrian troops attacked a terrorist command center in the Bab neighborhood on Friday.

Heavy clashes, however, continue between government forces and foreign-backed insurgents in other parts of Aleppo. Armed groups fighting against the government of Syrian President Bashar al-Assad have vowed to step up their attacks in Aleppo in coming days.
 
Earlier, at least four civilians, including two children, were killed in a terrorist mortar attack in the city.
Syrian troops have also killed a number of insurgents in the western city of Homs. In the capital Damascus, armed groups shelled a mosque, damaging parts of its minaret, but there were no reports of casualties.

Thursday 27 September 2012

Morsi condemns Israel war rhetoric against Iran, refusal to join NPT


Egyptian President Mohamed Morsi has warned Israel over its saber-rattling against Iran and Tel Aviv’s obstructionism against the realization of a nuclear-free Middle East.

The Middle East "no longer tolerates" any country's refusal to join the nuclear Non-Proliferation Treaty (NPT), "especially if this is coupled with irresponsible policies or arbitrary threats," Morsi said in his address at the 67th Session of the United Nations General Assembly in New York on Wednesday.

The Egyptian leader was making reference to Israel’s policy of ambiguity about its military nuclear activities, which has helped it procure the Mideast’s only nuclear arsenal.

Israel has recently stepped up its threats to strike Iran’s nuclear energy facilities, while the Stockholm International Peace Research Institute believes Tel Aviv possesses 300 to 400 nuclear warheads, 80 of which remain in high operational alert, that is, they are ready to fire.

Iran is a committed signatory to the nuclear Non-Proliferation Treaty (NPT) and a member of the International Atomic Energy Agency (IAEA), thus it has the right to use nuclear technology for peaceful purposes.
Morsi said the concept of a preemptive strike against a country must be confronted.
"The acceptance by the international community of the principle of pre-emptiveness or the attempt to legitimize it is in itself a serious matter and must be firmly confronted to avoid the prevalence of the law of the jungle," he stated.

The Egyptian president also referred to the continued occupation of Palestinian territories, and highlighted the Palestinian cause as “the first issue which the world must exert all its efforts in resolving, on the basis of justice and dignity.”

Morsi criticized Israel’s refusal to abide by UN resolutions and condemned its continued settlement expansions on occupied Palestinian land as “disgraceful.”

"It is shameful that the free world accepts, regardless of the justifications provided, that a member of the international community continues to deny the rights of a nation that has been longing for decades for independence," he said.

Thursday 20 September 2012

Syrian forces kill 100 Afghan insurgents in Aleppo

Syrian security forces have killed up to 100 Afghan insurgents in the northwestern city of Aleppo over the past two days, Press TV reports.

On Thursday, the Syrian forces also arrested about 100 armed men near the capital, Damascus.

Many insurgents were killed during clashes with the Syrian troops in Aleppo’s Maysaloon district on Wednesday. The Syrian army also seized large amounts of weapons and ammunition, including Israel-made bombs.
Syria has been experiencing unrest since March 2011.

Damascus says that the chaos is being orchestrated from outside the country, and there are reports that a very large number of the insurgents are foreign nationals.

Also on Thursday, the foreign-sponsored insurgents downed a Syrian military helicopter in the town of Douma, east of Damascus, and killed the crew of the helicopter in an execution-style shooting.

Wednesday 19 September 2012

Iran's future is bright despite Western propaganda: Leader

Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyyed Ali Khamenei

Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyyed Ali Khamenei says Iran is on track for a bright future despite Western propaganda.

“Thanks to Islamic Awakening, since the past 33 years, our beloved Iran and our great nation have been treading a glorious path to a bright ending,” Ayatollah Khamenei said in an address to the members of the country’s armed forces and their families in the northern city of Noshahr on Tuesday night.
 
The Leader also noted that the Iranian nation will disregard the enemies’ propaganda that aims to portray a bleak picture of the situation in the country.
He censured the United States for its increasing pressure on some nations.

“Nowadays, [the governments of] some countries, where revolutions have taken place, have to take some positions under US pressure. On the contrary, the authorities of the Islamic Republic have withstood such pressures during the past 33 years,” the Leader stated.

Ayatollah Khamenei went on to say that “the Islamic Republic does not yield to any superpowers and takes decisions in the interest of the country and its nation, even if all of the world’s superpowers are infuriated at these decisions.”

Kubakia nyuma kwa maadui wa Uislamu mbele ya taifa la Iran na mwamko wa Kiislamu ndiyo sababu iliyowafanya wamvunjie heshima Mtume (saw)

Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Iran Ayatullah Ali Khamenei mapema leo amekagua gwaride na sherehe za kuapishwa na kupewa vyeo wanafunzi wa vyuo vikuu vya maafisa wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu. Ametoa hotuba katika hadhara ya jeshi hilo akiashiria jinai ya kumvunjia heshima Mtukufu Mtume Muhammad (saw) na kusema kuwa, mataifa mbalimbali yanayoelewa siasa za kuuhujumu Uislamu za ubeberu na Uzayuni yanaelekeza kidole cha tuhuma kwa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya, na viongozi wa nchi hizo wanapaswa kuzuia hatua kama hizo za kiendawazimu na kuthibitisha kwamba hawakushiriki katika jinai hiyo kubwa.
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amekumbusha kwamba maadui wa Uislamu wanajihisi kubakia nyuma katika kukabiliana na taifa kubwa la Iran na harakati inayokwenda kwa kasi ya mwamko wa Kiislamu na kusema kuwa: “Suala hilo limewafanya maadui wa umma wa Kiislamu wachukue hatua ya  kiendawazimu kama tukio la hivi karibuni la kumvunjia heshima Mtume Muhammad (saw).
Amesema kuwa tukio hilo ni miongoni mwa ibra zinatazobakia katika historia. Ameongeza kuwa viongozi wa tawala za kibeberu ambao wamekataa kulaani jinai hiyo na hawakutekeleza wajibu wao mkabala wa uhalifu huo mkubwa wanadai kuwa hawakuhusika nayo.
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa: “Hatun’gang’anii kuwahusisha na jinai hii lakini mbinu za wanasiasa wa Marekani na baadhi ya watu wa Ulaya zinawafanya watambuliwe na walimwengu kuwa wamehusika kwa njia moja au nyingine katika uhalifu huo na kwa msingi huo wanapaswa kujisafisha na hatia hiyo kubwa si kwa maneno bali kwa vitendo”.
Amezungumzia sababu na malengo ya hujuma za vyombo vya ubeberu dhidi ya Uislamu na kusema kuwa, ni kutokana na malengo hayo ndiyo maana mabeberu hawakuzuia na wala hawatazuia vitendo kama hivyo vya kuvunjia heshima Uislamu na matukufu yake.
Akithibitisha urongo wa viongozi wa Marekani na nchi za Magharibi kwamba “kuzuia harakati za kuvunjia heshima Uislamu kunapingana na uhuru wa kujieleza”, Ayatullah Khamenei amebainisha nikta kadhaa. Moja ya nukta hizo ni kuwepo mistari myekundu huko Magharibi kwa ajili ya kuzuia aina yoyote ya kushambuliwa misingi ya ubeberu.
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amehoji kwamba je, yuko mtu anayeamini kwamba katika nchi ambazo zinatumia ukatili mkubwa na nguvu zote kuzuia harakati yoyote inayopinga misingi ya ubeberu, suala la kupiga marufuku vitendo vya kuvunjiwa heshima matukufu ya Uislamu linatambuliwa katika nchi hizo kuwa linapingana na uhuru wa kujieleza?
Amesema katika nchi nyingi za Kimagharibi hakuna mtu mwenye ujasiri wa kuhoji tukio linalotiliwa shaka la holocaust au kuchapisha makala kuhusu siasa chafu za ubeberu katika masuala ya kimaadili kama vitendo viovu vya kujamiiana watu wenye jinsia moja na kuhoji, inakuwaje katika masuala hayo hakuna uhuru wa kusema na kujieleza, lakini uhuru huo unaruhusiwa na kutolewa katika kuvunjia heshima Uislamu na matukufu yake?
Ayatullah Ali Khamenei ameitaja Marekani kuwa ni mlezi wa madikteta. Ameashiria uungaji mkono na himaya kubwa ya miongo kadhaa ya Marekani kwa dikteta wa zamani wa Misri Hosni Mubarak, dikteta wa Iran Muhammad Reza Pahlavi na madikteta wa sasa wa Mashariki ya Kati  na kusema: “Kwa kuwa na historia hiyo nyeusi, Wamarekani hawawezi kutoa madai ya kutetea demokrasia na kuunga mkono uhuru.”
Ayatullah Khamenei amesema kuwa maandamano ya mataifa mbalimbali kuelekea kwenye vituo vya kisiasa na kijamii vya Marekani katika nchi mbalimbali ni ishara ya chuki kubwa ya mataifa hayo dhidi ya siasa za kibeberu na Kizayuni na kuongeza kuwa, nyoyo za mataifa mbalimbali zinaichukia mno Marekani na kwa sababu hiyo kunapojitokeza fursa kama tukio la hivi karibu (la kuvunjiwa heshima Mtume “saw”) chuki na hasira hizo hudhiriri na kujitokeza kwa kiwango kikubwa.
Mwishoni mwa sehemu hii ya hotuba yake, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, hapana shaka kuwa katika mpambano huu na mabeberu dhidi ya dini ya Mwenyezi Mungu, jua la Uislamu litang’aa zaidi na umma wa Kiislamu utapata ushindi.
Katika sherehe hiyo ya kuapishwa na kupewa vyeo wanafunzi wa vyuo vikuu vya maafisa wa jeshi la Jamhuri ya Kiislamu, Amiri Jeshi Mkuu amekutaja kuwepo katika vikosi vya jeshi kuwa ni fahari kubwa na kuongoza kuwa, vijana ambao wameingia katika medani hiyo kwa uelewa na mapenzi watapata heshima ya taifa, fahari ya hapa duniani na thawabu huko Akhera.
Ameitaja Iran ya leo kuwa ni bahari kubwa iliyojaa mawimbi ya ari ya maendeleo na hamu ya harakati na uvumbuzi. Ameongeza kuwa kadiri siku zinavyopita ndivyo umuhimu na thamani za kihistoria za juhudi zinazofanywa kwa ajili ya kuijenga Jamhuri ya Kiislamu na kuimarisha zaidi jengo hilo zinavyodhihiri zaidi, na katika upande huu vikosi vya jeshi vina wajibu mkubwa.
Kabla ya hotuba hiyo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alikagua gwaride la jeshi na kutoa shahada na vyeo kwa maafisa wa jeshi
Vilevile Meja Jenerali Ataullah Salehi kamanda wa jeshi la Iran alimkaribisha Amiri Jeshi Mkuu na kusisitiza kuwa jeshi hilo liko tayari kikamilifu kwa ajili ya kulinda mipaka ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Vilevile Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu alipewa ripoti kuhusu shughuli za Chuo Kikuu cha Masuala ya Baharini cha Imam Khomeini.

Iwapo makundi yanayopinga serikali za Ulaya yatapewa silaha na fedha kutajitokeza hali kama ile inayoshuhudiwa Syria


Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei leo amemkaribisha Waziri Mkuu wa Syria na ujumbe anaoandamana nao ofisi kwake na kusema kuwa, sababu kuu ya matukio ya kuumiza yanayoshuhudiwa kwa sasa nchini Syria ni Marekani na utawala ghasibu wa Israel. Amesema Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote ina haki ya kuingilia kisiasa masuala ya Syria na si Marekani, NATO na baadhi ya nchi za Ulaya.
Amesema kuendelea hali ya sasa nchini Syria na mauaji yanayofanywa dhidi ya wananchi havikubaliki. Ameongeza kuwa wanaopaswa kulaumiwa katika masuala ya Syria ni wale wanaotayarisha uwanja wa kutumwa silaha kwa wingi ndani ya Syria na kuyasaidia kwa fedha makundi ya waasi.
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuyapa silaha makundi ya upinzani katika nchi yoyote na kuyasaidia kwa fedha na kipropaganda kutasababisha hali kama ile inayoshuhudiwa kwa sasa nchini Syria. Amesisitiza kuwa iwapo hii leo wapinzani wa siasa za serikali za Ulaya wanaofanya maandamano watapewa silaha na fedha, hapana shaka kwamba kutajitokeza hali kama inayoshuhudiwa nchini Syria.
Ayatullah Khamenei amesisitiza kuwa serikali ya Syria imedhulumiwa katika kadhia ya sasa na kuongeza kuwa, serikali ya Damascus inapaswa kuyafichulia mataifa ya Kiarabu hali ya mambo na njama zinazofanyika nyuma ya pazia dhidi ya nchi hiyo kwa kuwanyima kisingizio cha aina yoyote wapinzani wake na kudumisha mageuzi ya kisiasa.
Kwa upande wake Waziri Mkuu wa Syria Wael Nader al-Halqi amesifu misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu masuala mbalimbali na kutoa ripoti kuhusu hali ya nchi yake.
Al-Halqi amesisitiza juu ya kuhuishwa nafasi ya Harakati ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM) katika masuala ya Syria na akasema, serikali ya Damascus imeazimia kukabiliana na makundi ya kigaidi na kusafisha kabisa maeneo mbalimbali yanakojificha makundi hayo sambamba na kudumisha marekebisho ya kisiasa na mazungumzo ya kitaifa.  

MASHIA TUTAUAWA NA MAWAHABI MPAKA LINI

Mawahabi ambayo huitwa vilevile kama Salafi na kwa Tanzania wamejipatia jina la Answar Sunna wamekuwa msitari wa mbele kuwauwa Mashia kwa visingizio kwamba sisi si waislamu. Lakini utashangaa hivi kama sisi si waislamu wao wauaji ndio watakuwa waislamu?
Sisi hatukubaliani na fikra zao potofu za kutumia hasira na mauaji kama ngao ya kulinda dini kwa kuwa si mafundisho ya Uislamu toka kwa Mtume na Ahlulbayt wake (as). Mtume aliweza kuishi na watu wasiokuwa waislamu kwa muda wote wa uhai wake. Mfano wake ni pale alipoishi na wakristo wa Najran na hata walipoleta upinzani dhidi ya mtume Mwenyezi Mungu hakumuagiza Mtume wake awaue. Badala yake aliwaomba waapizani ili Mungu atoe hukumu mwenyewe.
Sasa hii tabia ya kumuua kila anayekwenda kinyume na Mawahabi wameipata wapi wapotofu hawa. Ninawaomba wasome Qur'an kwa mazingatio na pia waisome vizuri historia ya Mtume na Uislamu. Kwa bahati mbaya wamekuwa wakichukua mifano mibaya ya watu waliokuwa wahalifu, hakiona kuwa ndio Uislamu sahihi. Kwa mfano wanamtaja Khalid bin Walid kuwa ni mfano wa makamanda wazuri wa vita. Huyu ni mtu ambaye alifanya mauaji ya watu wasiokuwa na hatia katika kipindi ambacho Mtume alirudi Maka akitoka Madina (Fat'hu Makka), na Mtume mtukufu alimlaani kwa mauaji hayo.

Friday 14 September 2012

Israel fingerprints all over 9/11 attacks: US lawmaker


A member of the US House of Representatives says there is numerous evidence proving that the Israeli regime had a major role in the 9/11 attacks. 

 “We don’t have all the facts and figures of the direct involvement in the attack itself, but we do have lots of fingerprints of the Israelis all over this situation, covering it up and also not informing America of this … disaster,” David Duke said in an interview with us.
“There’s a huge amount of evidence that indicates that Israel, at the very least, knew what was going on way ahead of time,” but did not warn the US, Duke added, describing it as “a tremendous treachery” against the US.
He said that Israel had a long record of terrorism against the US, adding there are a lot of reasons as to why Israel had a major role in the incident.
He said that five Israeli Mossad agents were arrested in New York while they were filming and documenting the attack not to mention that there is also a lot of evidence indicating that Israel had a huge spy operation going on in the United States at this time.
Duke pointed out that Israel certainly gained tremendous benefits from the attack so it certainly had a role in the incident.
“Obviously, they’ve benefitted tremendously from the attack. It really cut off the huge growing criticism of Israel. There are more and more nations that were recognizing the Palestinian state. Everything got short circuited,” he said.

KUWAIT DEMONSTRATORS DEMANDING DEMOCRACY

Over 3,000 demonstrators gathered in Determination Square of Kuwait City opposite the parliament late Monday.
The event was organized by an umbrella group of Islamic and youth activists despite a ban by the government.
The protesters also called for more democracy and changes in the country’s electoral law.
About 21 lawmakers from the dissolved parliament also attended the demonstration.
Lawmaker Walid al-Tabtabaie said in an address to the protesters, “We have decided as people that (Prime Minister) Jaber al-Mubarak (al-Sabah) will be the last prime minister” from the ruling family.
Tabtabaie also stated that the ruling family can be “the emirs but the ministers will be from among us.”
The Kuwaiti government has been dominated by the al-Sabah family members without any challenge since the dynasty began ruling the Persian Gulf state about 250 years ago.
“Our problem is with the members of the family who must be kept away from ministerial positions. There must be a law that organizes the work of the ruling family,” said Khaled Shakheer, a former Kuwaiti MP who attended the demonstration.
“I will come to the Determination Square with the people until our demands are met.”
In June, Kuwait’s constitutional court dissolved the opposition-dominated parliament and reinstated the former pro-government parliament.

THE SPEECH BY AYATULLAH KHOMENEI ABOUT US ANTI-ISLAM MOVIE

‘US, Zionists prime anti-Islam suspects’.

The Leader of the Islamic Revolution Ayatollah Seyyed Ali Khamenei has slammed the antagonistic policies of Zionism and the US as the root cause of the recent production of an American movie desecrating Prophet
Mohammad (PBUH).
Ayatollah Khamenei issued a message on Thursday following the anti-Islam move. The full text of the message follows:
In the Name of Allah, the Beneficent. Dear Iranian nation; the great Islamic Ummah.
The filthy hand of the enemies of Islam once again revealed its deep-rooted malice by insulting the Grand Prophet [Mohammad] (PBUH) and with an insane and deplorable measure showed the fury of the evil Zionists at the daily-increasing radiance of Islam and Holy Qur’an in the present world.

Regarding the disgrace of the agents of this crime and great sin it suffices to say that they have targeted the most sacred and luminous figure among the world sanctities with their disgusting nonsense. Behind this evil move lie the antagonistic policies of the Zionists and the US and other heads of the global arrogance, who in their vain delusions want to knock down Islamic sanctities from their lofty position in the eyes of the young generations in the world of Islam and to extinguish their religious sentiments.

Had they not backed the previous links in this evil chain, namely Salman Rushdie, the Danish cartoonist, and the US pastors who burned the Holy Qur’an and had they not made orders for [production of] tens of anti-Islam movies to companies affiliated to the Zionist capitalists, things would not have lead to this great and unforgivable sin today.

"The prime suspects in this crime are Zionism and the US government. If the US politicians are honest in their claim of not being involved [in production of this film], [they] must bring the perpetrators of this hideous crime and their financial backers, who have wrenched the hearts of Muslim nations, to face a punishment proportionate to this great crime."

Muslim brothers and sisters must know that this desperate move by the enemies in the wake of the Islamic Awakening is a sign of the grandeur and importance of this uprising and heralds its increasing growth.
Seyyed Ali Khamenei
September 13, 2012

Thursday 13 September 2012

West accepts terrorism when it’s politically expedient – Russian FM

Western nations accept acts of terrorism when it suits them politically, Russian Foreign Minister Sergey Lavrov said. Lavrov was commenting on a refusal by Western members of the UN Security Council to condemn recent attacks in Syria. The Security Council has always resolved that terrorism is unacceptable, Lavrov said. But for the first time, Western member-states deviated from this position after a bombing in Damascus killed several senior security officials, he said.
According to Western nations, the bombing did not qualify as terrorism since the victims were the heads of power structures fighting against insurgents, Lavrov said, claiming he was dumbfounded by such an explanation.
Lavrov urged other members of the Security Council to condemn not only the Sunday bombing in the conflict-wracked Syrian city of Aleppo, which killed 27 people and wounded dozens, “but also a series of terrorist attacks that happened the same day in Iraq.”
“Our partners took a break – apparently, they were seeking advice from their capitals – and refused from any kind of reaction,” Lavrov said.
The silence of Western countries on the attack could indicate that their countries have changed their stance on terrorism, he said. “I’d be really glad if our partners refuted my suspicion,” Interfax cited Lavrov as saying.
Another senior Russian diplomat, deputy FM Gennady Gatilov, also accused Western nations of double standards over their refusal to condemn the Syrian terrorist attacks. “So there are ‘bad’ terrorists who should be condemned and those whose actions can go without a reaction from the international community,” he wrote on Twitter.
Earlier this week, Russia failed to secure a UN Security Council draft statement condemning the spate of September 9 attacks in Aleppo, which killed some 50 people and injured over 100.
The draft statement was circulated among Security Council members on September 10, along with a similar document on bombings in several Iraqi cities, Itar-Tass reported.
The statements said that "terrorism in all its forms and manifestations constitutes one of the most serious threats to international peace and security and is unjustifiable."
Russia managed to secure agreement only for the document on the terrorist attacks in Iraq.

Romney’s remarks validate Moscow’s stance on missile defense - Putin

Vladimir Putin said that Mitt Romney's remarks on Russia, which he dubbed America’s “number-one geopolitical foe,” have validated Moscow’s stance towards the US missile defense program. "[Romney] has again confirmed the correctness of our position on missile defense problems,” Putin told reporters after a meeting with Serbian President Tomislav Nikolic. "It's not just us that he has convinced of this but, I think, the international community and our European partners as well.”
Romney's statements "serve to bolster our positions in negotiations on this sensitive issue," the Russian leader said.
"What is most important for us is that even if Romney does not win these elections, he or a man with similar views could come to power in four years, and we should bear this in mind by planning our security according to a long historical perspective," Putin noted.
Moscow, which believes the system represents a national security threat, has warned on numerous occasions that the project could spark “another arms race” without Russia’s full participation.
The US and NATO have declined Moscow’s requests for assurances that the system would not be directed against Russia.
In weighing the comments made by President Barack Obama’s main challenger in the November elections, Putin described the “negative aspects” of Romney’s statements, while also saying that this proved him to be a “sincere man.”
"Every situation has its positive and negative aspects,” he added.
“That Mr. Romney considers us enemy number-one and apparently has bad feelings about Russia is a minus, but, considering that he expresses himself bluntly, openly and clearly, means that he is an open and sincere man, which is a plus."
"We will be oriented toward pluses, not minuses,” Putin said. “And I am actually very grateful to him for formulating his position in a straightforward manner."
He reiterated that he would be willing to work with Romney if he becomes the next US president.
"Despite the fact that Mr. Romney considers Russia enemy number-one, if he is elected president of the US, certainly we – myself included – will work with him as an elected head of state," he said.
In an effort to win votes, Romney is blasting Obama as a leader who weakened the US by signing an arms reduction treaty with Russia, and by agreeing to a comprehensive diplomatic ‘reset’ between the two countries.
During his nomination speech at the Republican National Convention, Romney referred to a ‘hot mic’ gaffe between Obama and then-President Dmitry Medvedev, in which the US leader said he would have “more flexibility” to work with Moscow after the elections.
Obama “is eager to give Russia's President Putin the flexibility he desires after the election. Under my presidency our friends will see more loyalty and Mr. Putin will see a little less flexibility and more backbone,” Romney said.
Putin concluded by noting that Romney's heated remarks against Russia may be “related in large part to election rhetoric.”
Nevertheless, he warned that, apart from the rhetoric, “the situation is such."
It remains to be seen how the US-Russia reset would be affected by a Romney victory in November, given an election-year atmosphere in Washington that has seen a high level of anti-Russian rhetoric.

US dispatches destroyers, marine unit to Libya

US warships (file photo)
The US navy has dispatched two guided missile destroyers and a 50-member marine unit to the Libyan coast.
A senior US official, whose name was not mentioned in the report, said on Wednesday that the USS Laboon and the USS McFaul “are going to be in the vicinity of Libya but only as a precautionary measure.”
 
On September 11, US Ambassador to Libya Christopher Stevens and three staff members of the US consulate were killed in an attack on the consulate building in the city of Benghazi.
The US consulate incident took place after a group of people held a demonstration against an anti-Islam movie produced in the United States.

Outrage is growing across the Muslim world over the $5-million movie that was financed by more than 100 Jews.

Monday 10 September 2012

Bahraini regime uses UK-made spy software to crush dissent

A British surveillance software company called Gamma International has supplied the Bahraini regime with spy software that has been used against pro-democracy protesters.

Pro-democracy protesters across the Middle East and North Africa have turned to social sites like Twitter, Facebook, YouTube and Skype since two years ago to communicate with each other and with the outside world.
This prompted dictatorial regimes hit by growing wave of pro-democracy movements to do everything to infiltrate the movements, hack their members’ internet accounts and spy on them in their attempt to silence dissent.
The Bahraini regime sent emails to activists and human rights defenders which contained attachments and those attachments were pieces of malware - software secretly installed on the activists’ computers and designed to spy on them.
The attachments sent to activists were analysed by researchers at the University of Toronto.

They found that the attachments were made by the UK-based firm - Gamma International, and the product was called FinFisher.
“The way that we've seen the tool deployed is through emails that contain attachments, an encouragement by the sender of the email to open the attachment. The attachment is actually of course a Trojan”, said one of the researchers.
“So they are used to steal documents, they are used to steal email credentials, intercept instant messaging. They are used to steal Facebook credentials, Twitter credentials. Used also for intercepting Skype calls”, the researcher added.
They found through more investigations that FinSpy could also take control of mobile devices in the form of FinSpy Mobile.
“It gives whoever's operating it the ability to enable your phone's microphone, look at your phone's GPS and locating system and generally record all the other activity that you do on the device”, the University of Toronto researchers said.
“So FinSpy would allow someone remotely to turn your mobile phone into a bugging device capable of listening in on any conversation or meeting you have”, they added.

This is not the first time Gamma International has come under scrutiny. Last year, Egyptian human rights activists found documents linking the company to the Mubarak regime when they broke into the State Security Investigations Service headquarters.

Monday 3 September 2012

Iran, only state to ensure Persian Gulf security: Iran cmdr.

Iranian naval officers are seen on a military speed boat during naval maneuvers in the Persian Gulf. (file photo)
Iranian naval officers are seen on a military speed boat during naval maneuvers in the Persian Gulf. (file photo)

The Islamic Revolution Guards Corps (IRGC) Navy Commander Rear-Admiral Ali Fadavi says Iran is the only state capable of guaranteeing security in the Persian Gulf.

“Iran is the only power capable of establishing security in the Persian Gulf, [its key oil shipment lane] Strait of Hormuz and the Middle East, and the world has gradually come to know this,” Fadavi said on Monday.
 
“Security in this region is needed not only by the [countries located in the] region, but also by many countries across the globe,” he added.
The admiral went on to accuse the United States of stirring insecurity in the Persian Gulf. “Statistics show that since the beginning of the [military] presence of Americans [in the Persian Gulf], security has not improved, but has even worsened on a daily basis.”

Highlighting Iran's role in the global security, the commander said “Although the US pretends to be the source of security in the region, it is [actually] the cause of insecurity.”

The commander noted that the Persian Gulf will become an exclusive route for the global oil and gas supply in the near future, adding, “While throughout the [1980-1988 Iraqi-imposed] war, only nine million barrels per day (bpd) of oil was exported from the Persian Gulf, the figure now stands at 19 million bpd and will reach 35-40 million bpd by 2020.”

Last month, the Iranian Armed Forces deputy chief of staff, Brigadier General Massoud Jazayeri, said the US military presence in the Persian Gulf posed a threat to security of shipping through the strategic waterway.
He urged the Persian Gulf littoral states to make efforts to establish complete security for shipping lines in the Persian Gulf.