Tuesday 17 June 2014

ZAIDI YA WAIRAQ MILIONI MBILI WAMEJITOLEA KUPAMBANA NA UGAIDI UNAOFANYWA NA MAWAHHABI WANAOJIITA ISIL.



Watu hao wamejitolea kutoka katika dini, madhehebu na makabila yote ya Iraq. Hii ni kinyume na uongo unaosambazwa na Mawahhabi kuwa vita vile ni kati ya Sunni na Shia. Hakika Mawahhabi ni maadui wa watu wote na wala sio shia pekee. Kwa mfano, walipouteka mji wa Mosul waliuwachinja masheikh wa Kisunni wapatao 12 na mamia ya masunni wa kawaida.

No comments:

Post a Comment